Methali 12:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mkono wa wenye bidii utatawala,+Lakini mikono milegevu italazimishwa kufanya kazi za utumwa.+ Methali 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kuna vitu anavyotamani sana mtu mvivu, ingawa hana chochote,+Lakini mwenye bidii atatoshelezwa kikamili.*+ Methali 21:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mipango ya wenye bidii hakika huleta mafanikio,*+Lakini wote walio na haraka kwa hakika watakuwa maskini.+
4 Kuna vitu anavyotamani sana mtu mvivu, ingawa hana chochote,+Lakini mwenye bidii atatoshelezwa kikamili.*+
5 Mipango ya wenye bidii hakika huleta mafanikio,*+Lakini wote walio na haraka kwa hakika watakuwa maskini.+