Methali 5:12, 13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nanyi mseme: “Jinsi nilivyochukia nidhamu! Jinsi moyo wangu ulivyodharau karipio! 13 Sikusikiliza sauti ya wakufunzi wanguWala kuwasikiliza kwa makini walimu wangu. Yohana 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana yeyote ambaye huzoea kutenda mambo maovu huchukia nuru na haji kwenye nuru, ili matendo yake yasikaripiwe.*
12 Nanyi mseme: “Jinsi nilivyochukia nidhamu! Jinsi moyo wangu ulivyodharau karipio! 13 Sikusikiliza sauti ya wakufunzi wanguWala kuwasikiliza kwa makini walimu wangu.
20 Kwa maana yeyote ambaye huzoea kutenda mambo maovu huchukia nuru na haji kwenye nuru, ili matendo yake yasikaripiwe.*