Methali 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Maneno yanayosemwa bila kufikiri huchoma kama upanga,Lakini ulimi wa mwenye hekima huponya.+ Methali 16:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Maneno ya uadilifu huwafurahisha wafalme. Wanampenda mtu anayeongea kwa unyoofu.+