Zaburi 16:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa hiyo moyo wangu unashangilia, nafsi yangu yote ina* shangwe. Nami ninaishi* kwa usalama. Waroma 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Shangilieni katika tumaini. Vumilieni chini ya dhiki.+ Dumuni katika sala.+