Waamuzi 10:13, 14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini mliniacha na kuabudu miungu mingine.+ Ndiyo sababu sitawaokoa tena.+ 14 Nendeni mkaililie miungu mliyochagua iwasaidie.+ Na iwaokoe kutoka katika taabu yenu.”+
13 Lakini mliniacha na kuabudu miungu mingine.+ Ndiyo sababu sitawaokoa tena.+ 14 Nendeni mkaililie miungu mliyochagua iwasaidie.+ Na iwaokoe kutoka katika taabu yenu.”+