Methali 2:10-12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hekima inapoingia moyoni mwako+Na ujuzi kupendeza nafsi* yako,+11 Uwezo wa kufikiri utakukinga,+Na utambuzi utakulinda,12 Ili kukuokoa kutoka kwenye njia mbaya,Kutoka kwa mtu anayesema mambo mapotovu,+
10 Hekima inapoingia moyoni mwako+Na ujuzi kupendeza nafsi* yako,+11 Uwezo wa kufikiri utakukinga,+Na utambuzi utakulinda,12 Ili kukuokoa kutoka kwenye njia mbaya,Kutoka kwa mtu anayesema mambo mapotovu,+