Mhubiri 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini mambo hayatamwendea vyema mwovu,+ wala hatarefusha siku zake zilizo kama kivuli,+ kwa sababu hamwogopi Mungu. Ezekieli 18:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tazama! Nafsi zote—ni zangu.* Kama nafsi ya baba ilivyo yangu ndivyo ilivyo nafsi ya mwana—ni zangu. Nafsi* inayotenda dhambi ndiyo itakayokufa.*
13 Lakini mambo hayatamwendea vyema mwovu,+ wala hatarefusha siku zake zilizo kama kivuli,+ kwa sababu hamwogopi Mungu.
4 Tazama! Nafsi zote—ni zangu.* Kama nafsi ya baba ilivyo yangu ndivyo ilivyo nafsi ya mwana—ni zangu. Nafsi* inayotenda dhambi ndiyo itakayokufa.*