Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 9:20-22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa Wayahudi nilikuwa kama Myahudi, ili niwapate Wayahudi;+ kwa wale walio chini ya sheria nilikuwa kama aliye chini ya sheria, ingawa mimi mwenyewe siko chini ya sheria, ili niwapate wale walio chini ya sheria.+ 21 Kwa wale wasio na sheria nilikuwa kama asiye na sheria, ingawa mimi siko bila sheria kwa Mungu bali niko chini ya sheria kwa Kristo,+ ili niwapate wale wasio na sheria. 22 Kwa walio dhaifu nilikuwa dhaifu, ili niwapate walio dhaifu.+ Nimekuwa mambo yote kwa watu wa namna zote, ili kwa vyovyote niwaokoe wengine.

  • Yakobo 5:19, 20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ndugu zangu, yeyote kati yenu akipotoshwa kutoka katika kweli na mwingine amrudishe, 20 jueni kwamba yeyote anayemrudisha mtenda dhambi kutoka kwenye kosa+ la njia yake atamwokoa* kutoka kwenye kifo naye atafunika dhambi nyingi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki