Yeremia 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Sikiliza, Ee dunia! Ninawaletea msiba watu hawa+Kama matunda ya mipango yao,Kwa maana hawakuyasikiliza maneno yanguNao waliikataa sheria* yangu.” Wagalatia 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Msipotoshwe: Mungu si wa kudhihakiwa. Kwa maana lolote analopanda mtu, ndilo atakalovuna pia;+
19 Sikiliza, Ee dunia! Ninawaletea msiba watu hawa+Kama matunda ya mipango yao,Kwa maana hawakuyasikiliza maneno yanguNao waliikataa sheria* yangu.”