-
Esta 7:3, 4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 Malkia Esta akajibu: “Ikiwa nimepata kibali chako, Ee mfalme, nawe mfalme ukipenda, naomba uuokoe uhai wangu,* na pia uhai wa watu wangu.+ 4 Kwa maana tumeuzwa,+ mimi na watu wangu, tuangamizwe, tuuawe, na kufutiliwa mbali.+ Kama tungeuzwa tuwe watumwa wa kiume na wa kike, ningekaa kimya. Lakini msiba huu haufai, kwa sababu utamletea mfalme hasara.”
-
-
Methali 14:3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 Fimbo ya kiburi imo kinywani mwa mpumbavu,
Lakini midomo ya wenye hekima itawalinda.
-