14 Wakati huo, mtumishi mmoja akamletea Abigaili mke wa Nabali habari hii: “Tazama! Daudi aliwatuma wajumbe kutoka nyikani ili kumtakia mema bwana wetu, lakini aliwatukana vikali.+
17 Sasa amua utakalofanya, kwa maana kwa hakika bwana wetu ataangamizwa pamoja na nyumba yake yote,+ naye ni mtu asiyefaa kitu* hivi+ kwamba hakuna mtu anayeweza kuzungumza naye.”
3 Ndipo Yuda, ambaye alimsaliti, alipoona Yesu amehukumiwa, akajuta na kuwarudishia wakuu wa makuhani na wazee vile vipande 30 vya fedha,+4 akisema: “Nilitenda dhambi niliposaliti damu isiyo na hatia.” Wakamwambia: “Hilo linatuhusuje? Shauri yako!”*