Methali 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Usiwe mwenye hekima machoni pako mwenyewe.+ Mwogope Yehova na ujiepushe na uovu. Methali 26:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Je, umemwona mtu anayefikiri ana hekima?+ Kuna tumaini zaidi kwa mpumbavu kuliko kwa mtu huyo.