Zaburi 91:9, 10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa sababu ulisema: “Yehova ni kimbilio langu,” Umemfanya Aliye Juu Zaidi kuwa makao* yako;+10 Hutapatwa na msiba,+Na hakuna pigo litakalokaribia hema lako.
9 Kwa sababu ulisema: “Yehova ni kimbilio langu,” Umemfanya Aliye Juu Zaidi kuwa makao* yako;+10 Hutapatwa na msiba,+Na hakuna pigo litakalokaribia hema lako.