Waroma 2:9, 10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kutakuwa na dhiki na taabu kwa kila mtu* anayefanya mabaya, kwanza kwa Myahudi na pia kwa Mgiriki; 10 bali utukufu na heshima na amani kwa kila mtu anayefanya mema, kwanza kwa Myahudi+ na pia kwa Mgiriki.+
9 Kutakuwa na dhiki na taabu kwa kila mtu* anayefanya mabaya, kwanza kwa Myahudi na pia kwa Mgiriki; 10 bali utukufu na heshima na amani kwa kila mtu anayefanya mema, kwanza kwa Myahudi+ na pia kwa Mgiriki.+