Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 37:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Sasa Israeli alimpenda sana Yosefu kuliko wanawe wengine+ kwa sababu alimzaa uzeeni, naye alikuwa amemshonea joho la pekee.* 4 Ndugu zake walipoona kwamba baba yao alimpenda sana kuliko yeyote miongoni mwao, wakaanza kumchukia, na hawakuzungumza naye kwa amani.

  • 1 Samweli 18:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Sauli akakasirika sana,+ na wimbo huo haukumpendeza kwa kuwa alisema: “Wamempa Daudi makumi ya maelfu, lakini mimi wamenipa maelfu. Lililobaki tu ni kumpa ufalme!”+ 9 Kuanzia siku hiyo na kuendelea, Sauli alikuwa akimtilia shaka Daudi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki