Methali 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Anayemrekebisha mtu mwenye dhihaka hualika aibu,+Na yeyote anayemkaripia mtu mwovu ataumia. Yohana 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana yeyote ambaye huzoea kutenda mambo maovu huchukia nuru na haji kwenye nuru, ili matendo yake yasikaripiwe.* Yohana 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ulimwengu hauna sababu ya kuwachukia ninyi, lakini unanichukia mimi kwa sababu ninatoa ushahidi kuuhusu kwamba matendo yake ni maovu.+
20 Kwa maana yeyote ambaye huzoea kutenda mambo maovu huchukia nuru na haji kwenye nuru, ili matendo yake yasikaripiwe.*
7 Ulimwengu hauna sababu ya kuwachukia ninyi, lakini unanichukia mimi kwa sababu ninatoa ushahidi kuuhusu kwamba matendo yake ni maovu.+