-
2 Mambo ya Nyakati 18:6, 7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Kisha Yehoshafati akasema: “Je, hakuna nabii wa Yehova mahali hapa?+ Acheni tumuulize yeye pia.”+ 7 Ndipo mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati: “Bado kuna mtu mmoja+ ambaye tunaweza kumwomba ushauri kutoka kwa Yehova; lakini ninamchukia, kwa maana hatabiri kamwe mambo mema kunihusu, anatabiri mabaya sikuzote.+ Anaitwa Mikaya mwana wa Imla.” Hata hivyo, Yehoshafati akasema: “Mfalme, usiseme jambo kama hilo.”
-