Methali 26:18, 19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kama mwenda wazimu anayetupa vishale vinavyowaka moto, mishale, na kifo*19 Ndivyo alivyo mtu anayemhadaa jirani yake na kusema, “Nilikuwa nikifanya mzaha tu!”+ Mhubiri 7:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Moyo wa mwenye hekima uko katika nyumba yenye maombolezo, lakini moyo wa mpumbavu uko katika nyumba yenye nderemo.*+
18 Kama mwenda wazimu anayetupa vishale vinavyowaka moto, mishale, na kifo*19 Ndivyo alivyo mtu anayemhadaa jirani yake na kusema, “Nilikuwa nikifanya mzaha tu!”+
4 Moyo wa mwenye hekima uko katika nyumba yenye maombolezo, lakini moyo wa mpumbavu uko katika nyumba yenye nderemo.*+