1 Samweli 25:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Baadaye Abigaili akarudi kwa Nabali, naye Nabali alikuwa akila na kunywa kama mfalme nyumbani mwake, na alikuwa amechangamka sana* na kulewa kabisa. Lakini Abigaili hakumwambia jambo lolote mpaka asubuhi kulipopambazuka. Methali 21:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Anayependa raha* atakuwa maskini;+Anayependa divai na mafuta hatakuwa tajiri.
36 Baadaye Abigaili akarudi kwa Nabali, naye Nabali alikuwa akila na kunywa kama mfalme nyumbani mwake, na alikuwa amechangamka sana* na kulewa kabisa. Lakini Abigaili hakumwambia jambo lolote mpaka asubuhi kulipopambazuka.