Luka 4:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Wote wakaanza kutoa ushahidi unaofaa kumhusu na kushangazwa na maneno yenye neema yaliyokuwa yakitoka kinywani mwake,+ nao wakawa wakiambiana: “Huyu ni mwana wa Yosefu, sivyo?”+ Wakolosai 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Maneno yenu na yawe yenye neema sikuzote,+ yaliyokolezwa chumvi, ili mjue jinsi mnavyopaswa kumjibu kila mtu.+
22 Wote wakaanza kutoa ushahidi unaofaa kumhusu na kushangazwa na maneno yenye neema yaliyokuwa yakitoka kinywani mwake,+ nao wakawa wakiambiana: “Huyu ni mwana wa Yosefu, sivyo?”+
6 Maneno yenu na yawe yenye neema sikuzote,+ yaliyokolezwa chumvi, ili mjue jinsi mnavyopaswa kumjibu kila mtu.+