Methali 4:20-22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Mwanangu, sikiliza maneno yangu;Sikiliza kwa makini* ninayokwambia. 21 Yasiondoke machoni pako;Yaweke ndani kabisa moyoni mwako,+22 Kwa maana ni uzima kwa wale wanaoyapata+Na afya kwa mwili wao wote. Methali 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Maneno yanayosemwa bila kufikiri huchoma kama upanga,Lakini ulimi wa mwenye hekima huponya.+
20 Mwanangu, sikiliza maneno yangu;Sikiliza kwa makini* ninayokwambia. 21 Yasiondoke machoni pako;Yaweke ndani kabisa moyoni mwako,+22 Kwa maana ni uzima kwa wale wanaoyapata+Na afya kwa mwili wao wote.