Methali 15:16, 17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ni afadhali kuwa na vichache na kumwogopa Yehova+Kuliko kuwa na mali nyingi pamoja na mahangaiko.*+ 17 Ni afadhali kula mboga za majani mahali penye upendo+Kuliko kula ng’ombe dume aliyenoneshwa* mahali penye chuki.+ Methali 21:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ni afadhali kuishi pembeni juu ya paaKuliko kuishi katika nyumba moja na mke mgomvi.*+ Methali 21:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ni afadhali kuishi nyikaniKuliko kuishi na mke mgomvi* anayekasirika haraka.+
16 Ni afadhali kuwa na vichache na kumwogopa Yehova+Kuliko kuwa na mali nyingi pamoja na mahangaiko.*+ 17 Ni afadhali kula mboga za majani mahali penye upendo+Kuliko kula ng’ombe dume aliyenoneshwa* mahali penye chuki.+