Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 39:10-12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi siku baada ya siku alizungumza na Yosefu, lakini Yosefu hakukubali kamwe kulala naye wala kukaakaa naye. 11 Lakini siku moja kati ya siku ambazo Yosefu aliingia nyumbani kufanya kazi yake, hakukuwa na mtumishi yeyote nyumbani. 12 Basi mke wa Potifa akaishika kwa nguvu nguo ya Yosefu akisema: “Lala nami!” Lakini Yosefu akaiacha nguo yake mikononi mwake na kukimbilia nje.

  • Methali 6:23, 24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa maana amri hiyo ni taa,+

      Na sheria ni nuru,+

      Na makaripio ya nidhamu ndiyo njia ya uzima.+

      24 Yatakulinda dhidi ya mwanamke mwovu,+

      Dhidi ya ulimi unaoshawishi wa mwanamke mwasherati.*+

  • Methali 7:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Iambie hekima, “Wewe ni dada yangu,”

      Na uuite uelewaji “mtu wangu wa ukoo,”

       5 Ili vikulinde dhidi ya mwanamke aliyepotoka,*+

      Dhidi ya mwanamke mwasherati* na maneno yake laini.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki