Methali 12:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Mahangaiko yaliyo moyoni mwa mtu huulemea moyo,*+Lakini neno jema huuchangamsha.+ Methali 15:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Moyo wenye shangwe hufanya uso uchangamke,Lakini maumivu ya moyo huiponda roho.+