Mwanzo 27:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Hata hivyo, Esau akawa na chuki kali dhidi ya Yakobo kwa sababu ya baraka ambayo baba yake alikuwa amempa,+ na Esau akawa akisema moyoni mwake: “Siku za kumwombolezea baba yangu zinakaribia.+ Zitakapokwisha nitamuua Yakobo ndugu yangu.” 2 Samweli 13:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Absalomu hakumwambia Amnoni jambo lolote jema au baya; kwa maana Absalomu alimchukia+ Amnoni kwa sababu alikuwa amemwaibisha Tamari dada yake.+
41 Hata hivyo, Esau akawa na chuki kali dhidi ya Yakobo kwa sababu ya baraka ambayo baba yake alikuwa amempa,+ na Esau akawa akisema moyoni mwake: “Siku za kumwombolezea baba yangu zinakaribia.+ Zitakapokwisha nitamuua Yakobo ndugu yangu.”
22 Absalomu hakumwambia Amnoni jambo lolote jema au baya; kwa maana Absalomu alimchukia+ Amnoni kwa sababu alikuwa amemwaibisha Tamari dada yake.+