-
Matendo 15:37-39Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
37 Barnaba alikuwa ameazimia kwenda na Yohana, aliyeitwa Marko.+ 38 Lakini Paulo hakutaka waende pamoja naye, kwa sababu alikuwa amewaacha huko Pamfilia na hakuenda pamoja nao kwenye kazi.+ 39 Ndipo wakagombana kwa ukali hivi kwamba wakaachana; naye Barnaba+ akamchukua Marko na kusafiri pamoja naye baharini kwenda Kipro.
-