Methali 19:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nyumba na mali hurithiwa kutoka kwa akina baba,Lakini mke mwenye busara hutoka kwa Yehova.+ Mhubiri 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Furahia maisha pamoja na mke wako mpendwa+ sikuzote za maisha yako ya ubatili, ambazo Mungu amekupa chini ya jua, sikuzote za ubatili wako, kwa maana hilo ndilo fungu lako maishani na katika kazi yako ngumu unayofanya kwa jasho chini ya jua.+
9 Furahia maisha pamoja na mke wako mpendwa+ sikuzote za maisha yako ya ubatili, ambazo Mungu amekupa chini ya jua, sikuzote za ubatili wako, kwa maana hilo ndilo fungu lako maishani na katika kazi yako ngumu unayofanya kwa jasho chini ya jua.+