-
2 Samweli 16:21, 22Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
21 Basi Ahithofeli akamwambia Absalomu: “Fanya ngono na masuria wa baba yako,+ aliowaacha waitunze nyumba.*+ Kisha Waisraeli wote watasikia kwamba umekuwa uvundo kwa baba yako, na wale wanaokuunga mkono watapata nguvu.” 22 Kwa hiyo wakampigia hema Absalomu juu ya paa,+ naye Absalomu akafanya ngono na masuria wa baba yake+ Waisraeli wote wakitazama.+
-