Methali 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hekima hupatikana kwenye midomo ya mtu mwenye utambuzi,+Lakini fimbo ni kwa ajili ya mgongo wa mtu asiye na busara.*+ Methali 26:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mjeledi ni wa farasi, lijamu ni ya punda,+Na fimbo ni ya mgongo wa watu wapumbavu.+
13 Hekima hupatikana kwenye midomo ya mtu mwenye utambuzi,+Lakini fimbo ni kwa ajili ya mgongo wa mtu asiye na busara.*+