Methali 3:13-15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mwenye furaha ni mtu anayepata hekima+Na mtu anayepata utambuzi;14 Kupata hekima ni bora kuliko kupata fedha,Na kuipata kama faida ni bora kuliko kupata dhahabu.+ 15 Ni yenye thamani kuliko marijani;*Hakuna chochote unachotamani kinachoweza kulinganishwa nayo.
13 Mwenye furaha ni mtu anayepata hekima+Na mtu anayepata utambuzi;14 Kupata hekima ni bora kuliko kupata fedha,Na kuipata kama faida ni bora kuliko kupata dhahabu.+ 15 Ni yenye thamani kuliko marijani;*Hakuna chochote unachotamani kinachoweza kulinganishwa nayo.