Methali 6:30, 31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Watu hawamdharau mwiziAkiiba ili ajishibishe* anapokuwa na njaa. 31 Lakini akipatikana, atalipa mara saba;Atatoa vitu vyote vyenye thamani vya nyumba yake.+
30 Watu hawamdharau mwiziAkiiba ili ajishibishe* anapokuwa na njaa. 31 Lakini akipatikana, atalipa mara saba;Atatoa vitu vyote vyenye thamani vya nyumba yake.+