Zaburi 34:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Malaika wa Yehova hupiga kambi pande zote kuwazunguka wanaomwogopa Yeye,+Naye huwaokoa.+ 1 Petro 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Hivyo basi, acheni wale wanaoteseka kwa kufanya mapenzi ya Mungu waendelee kujikabidhi wenyewe* kwa Muumba mwaminifu wanapotenda mema.+
19 Hivyo basi, acheni wale wanaoteseka kwa kufanya mapenzi ya Mungu waendelee kujikabidhi wenyewe* kwa Muumba mwaminifu wanapotenda mema.+