Methali 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Hizo ndizo njia za wale wanaotafuta faida isiyo ya haki,Ambayo itawaangamiza wale wanaoipata.+ Methali 20:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Urithi unaopatikana kwa pupa mwanzoniHautakuwa baraka mwishoni.+