Zaburi 37:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Mwangalie mtu asiye na lawama,*Na uendelee kumwangalia mnyoofu,+Kwa maana wakati ujao wa mtu huyo utakuwa na amani.+ Methali 16:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Barabara kuu ya wanyoofu huepuka uovu. Yeyote anayelinda njia yake huhifadhi uhai wake.*+ 1 Petro 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Sasa kwa sababu mmejitakasa wenyewe* kwa kuwa watiifu kwa ile kweli na hivyo kuwa na upendo wa kindugu+ bila unafiki, pendaneni sana kutoka moyoni.+
37 Mwangalie mtu asiye na lawama,*Na uendelee kumwangalia mnyoofu,+Kwa maana wakati ujao wa mtu huyo utakuwa na amani.+
22 Sasa kwa sababu mmejitakasa wenyewe* kwa kuwa watiifu kwa ile kweli na hivyo kuwa na upendo wa kindugu+ bila unafiki, pendaneni sana kutoka moyoni.+