Mhubiri 7:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Hekima humfanya mtu mwenye hekima awe na nguvu zaidi kuliko wanaume kumi wenye nguvu walio jijini.+ 2 Wakorintho 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana silaha za vita vyetu si za kimwili,+ bali ni zenye nguvu kupitia Mungu+ kwa ajili ya kuzipindua ngome zenye nguvu.
19 Hekima humfanya mtu mwenye hekima awe na nguvu zaidi kuliko wanaume kumi wenye nguvu walio jijini.+
4 Kwa maana silaha za vita vyetu si za kimwili,+ bali ni zenye nguvu kupitia Mungu+ kwa ajili ya kuzipindua ngome zenye nguvu.