Hesabu 14:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Hata hivyo, kwa kimbelembele wakapanda kuelekea mlimani,+ lakini sanduku la agano la Yehova lilibaki katikati ya kambi, na Musa pia alibaki.+ Esta 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Baadaye mfalme akauliza: “Ni nani aliye katika ua?” Basi Hamani alikuwa amekuja katika ua wa nje+ wa nyumba ya* mfalme ili azungumze na mfalme kuhusu kumtundika Mordekai juu ya mti aliokuwa ameutengeneza kwa ajili yake.+
44 Hata hivyo, kwa kimbelembele wakapanda kuelekea mlimani,+ lakini sanduku la agano la Yehova lilibaki katikati ya kambi, na Musa pia alibaki.+
4 Baadaye mfalme akauliza: “Ni nani aliye katika ua?” Basi Hamani alikuwa amekuja katika ua wa nje+ wa nyumba ya* mfalme ili azungumze na mfalme kuhusu kumtundika Mordekai juu ya mti aliokuwa ameutengeneza kwa ajili yake.+