Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 13:8-10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini Elima mlozi (kwa maana hivyo ndivyo jina lake linavyotafsiriwa) akaanza kuwapinga, akijaribu kumzuia yule liwali asiwe mwamini. 9 Ndipo Sauli, aitwaye pia Paulo, akiwa amejaa roho takatifu, akamtazama kwa makini 10 na kumwambia: “Ewe mtu uliyejaa kila aina ya upunjaji na kila aina ya ulaghai, wewe mwana wa Ibilisi,+ wewe adui wa kila jambo la uadilifu, je, hutaacha kuzipotosha njia za Yehova* zilizo sawa?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki