Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 16:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Mtumishi mmoja akasema: “Tazama! Nimeona mwana fulani wa Yese Mbethlehemu anavyopiga kinubi kwa ustadi, ni mtu jasiri na shujaa hodari.+ Ana ustadi wa kuongea, ana sura nzuri,+ na Yehova yuko pamoja naye.”+ 19 Ndipo Sauli akawatuma wajumbe kwa Yese na kumwambia: “Mtume mwana wako Daudi aje kwangu, yule anayechunga kondoo.”+

  • 1 Wafalme 7:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mfalme Sulemani akawatuma watu wamwite Hiramu,+ akaletwa kutoka Tiro. 14 Alikuwa mwana wa mwanamke mjane kutoka katika kabila la Naftali, na baba yake alikuwa mfua shaba+ kutoka Tiro; Hiramu alikuwa na ustadi wa hali ya juu, uelewaji,+ na uzoefu wa kutengeneza vitu vya shaba vya kila aina. Basi akaja kwa Mfalme Sulemani na kufanya kazi yake yote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki