16 kwa sababu kila kitu katika ulimwengu—tamaa ya mwili+ na tamaa ya macho+ na mtu kujionyesha mali zake maishani—hakitokani na Baba, bali hutokana na ulimwengu. 17 Zaidi ya hayo, ulimwengu unapitilia mbali na pia tamaa yake,+ lakini yule anayefanya mapenzi ya Mungu anadumu milele.+