Methali 14:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mtu mwenye dhihaka hutafuta hekima lakini haipati kamwe,Lakini ujuzi humjia kwa urahisi mtu aliye na uelewaji.+ 1 Wakorintho 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini mtu wa kimwili hayakubali* mambo ya roho ya Mungu, kwa maana hayo ni upumbavu kwake; naye hawezi kuyajua, kwa sababu yanachunguzwa kiroho.
6 Mtu mwenye dhihaka hutafuta hekima lakini haipati kamwe,Lakini ujuzi humjia kwa urahisi mtu aliye na uelewaji.+
14 Lakini mtu wa kimwili hayakubali* mambo ya roho ya Mungu, kwa maana hayo ni upumbavu kwake; naye hawezi kuyajua, kwa sababu yanachunguzwa kiroho.