Methali 20:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mvivu halimi katika majira ya baridi kali,Kwa hiyo atakuwa akiombaomba wakati wa mavuno, wakati hana chochote.*+ Methali 22:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mvivu anasema: “Kuna simba nje! Nitauawa katikati ya uwanja wa jiji!”+ Mhubiri 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa sababu ya uvivu unaopita kiasi paa hubonyea, na kwa sababu ya mikono milegevu nyumba huvuja.+
4 Mvivu halimi katika majira ya baridi kali,Kwa hiyo atakuwa akiombaomba wakati wa mavuno, wakati hana chochote.*+