1 Wathesalonike 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Muwe na lengo la kuishi kwa utulivu+ na kushughulika na mambo yenu wenyewe+ na kufanya kazi kwa mikono yenu,+ kama tulivyowaagiza, 1 Petro 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hata hivyo, yeyote kati yenu asiteseke kwa sababu yeye ni muuaji au mwizi au mkosaji au mtu anayejiingiza katika mambo ya watu wengine.+
11 Muwe na lengo la kuishi kwa utulivu+ na kushughulika na mambo yenu wenyewe+ na kufanya kazi kwa mikono yenu,+ kama tulivyowaagiza,
15 Hata hivyo, yeyote kati yenu asiteseke kwa sababu yeye ni muuaji au mwizi au mkosaji au mtu anayejiingiza katika mambo ya watu wengine.+