1 Samweli 25:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Tafadhali, bwana wangu usimsikilize huyu Nabali asiyefaa kitu,+ kwa maana jina lake linamfaa kabisa. Anaitwa Nabali,* na kwa kweli ni mtu mpumbavu. Lakini mimi kijakazi wako, sikuwaona vijana wako bwana wangu, uliowatuma.
25 Tafadhali, bwana wangu usimsikilize huyu Nabali asiyefaa kitu,+ kwa maana jina lake linamfaa kabisa. Anaitwa Nabali,* na kwa kweli ni mtu mpumbavu. Lakini mimi kijakazi wako, sikuwaona vijana wako bwana wangu, uliowatuma.