1 Samweli 23:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Sasa Yonathani mwana wa Sauli akaenda kumwona Daudi huko Horeshi, akamsaidia kupata nguvu* katika Yehova.+ Waebrania 10:24, 25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na acheni tufikiriane* ili kuchocheana* katika upendo na matendo mazuri,+ 25 bila kuacha kukutana pamoja,+ kama wengine walivyo na desturi, bali tutiane moyo,+ na kufanya hivyo zaidi kwa kadiri mnavyoona siku ile ikikaribia.+
16 Sasa Yonathani mwana wa Sauli akaenda kumwona Daudi huko Horeshi, akamsaidia kupata nguvu* katika Yehova.+
24 Na acheni tufikiriane* ili kuchocheana* katika upendo na matendo mazuri,+ 25 bila kuacha kukutana pamoja,+ kama wengine walivyo na desturi, bali tutiane moyo,+ na kufanya hivyo zaidi kwa kadiri mnavyoona siku ile ikikaribia.+