Mambo ya Walawi 19:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “‘Usitoe hukumu isiyo ya haki. Usiwabague maskini au kuwapendelea matajiri.+ Unapaswa kumhukumu mwenzako kwa haki. Methali 18:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Si vema kumpendelea mwovu+Wala kumnyima haki mtu mwadilifu.+ Yakobo 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ndugu zangu, je, mnashika imani ya Bwana wetu mtukufu Yesu Kristo huku mkiwa na upendeleo?+
15 “‘Usitoe hukumu isiyo ya haki. Usiwabague maskini au kuwapendelea matajiri.+ Unapaswa kumhukumu mwenzako kwa haki.