Methali 26:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ulimi unaosema uwongo huwachukia watu uliowaponda,Na kinywa kinachosifusifu huleta uharibifu.+ Waroma 16:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana watu wa namna hiyo ni watumwa, si wa Bwana wetu Kristo, bali wa hamu* yao wenyewe, na kwa maneno laini na maneno ya kusifusifu wao huishawishi mioyo ya wasiotambua.
18 Kwa maana watu wa namna hiyo ni watumwa, si wa Bwana wetu Kristo, bali wa hamu* yao wenyewe, na kwa maneno laini na maneno ya kusifusifu wao huishawishi mioyo ya wasiotambua.