Methali 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Anayeshika amri anaulinda uhai wake;*+Asiyejali njia zake atakufa.+ Yohana 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ikiwa mnajua mambo haya, mtakuwa wenye furaha mkiyatenda.+ Yakobo 1:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini anayechunguza sheria kamilifu+ ambayo ni ya uhuru na kudumu katika hiyo, amekuwa, si msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi; naye atafurahia kile anachofanya.+
25 Lakini anayechunguza sheria kamilifu+ ambayo ni ya uhuru na kudumu katika hiyo, amekuwa, si msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi; naye atafurahia kile anachofanya.+