1 Samweli 18:8, 9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Sauli akakasirika sana,+ na wimbo huo haukumpendeza kwa kuwa alisema: “Wamempa Daudi makumi ya maelfu, lakini mimi wamenipa maelfu. Lililobaki tu ni kumpa ufalme!”+ 9 Kuanzia siku hiyo na kuendelea, Sauli alikuwa akimtilia shaka Daudi. Yakobo 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana palipo na wivu na ugomvi,* pana machafuko pia na kila jambo baya.+
8 Sauli akakasirika sana,+ na wimbo huo haukumpendeza kwa kuwa alisema: “Wamempa Daudi makumi ya maelfu, lakini mimi wamenipa maelfu. Lililobaki tu ni kumpa ufalme!”+ 9 Kuanzia siku hiyo na kuendelea, Sauli alikuwa akimtilia shaka Daudi.