Mambo ya Walawi 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “‘Ikiwa mtu amesikia mwito wa hadharani wa kutoa ushahidi*+ kuhusu jambo ambalo amejionea au kusikia au kujua, lakini amekataa kutoa habari, basi ametenda dhambi, naye atawajibika kwa sababu ya kosa lake.
5 “‘Ikiwa mtu amesikia mwito wa hadharani wa kutoa ushahidi*+ kuhusu jambo ambalo amejionea au kusikia au kujua, lakini amekataa kutoa habari, basi ametenda dhambi, naye atawajibika kwa sababu ya kosa lake.