Mathayo 10:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na msiwaogope wale wanaoua mwili lakini hawawezi kuua nafsi;*+ badala yake, mwogopeni yule anayeweza kuangamiza nafsi na mwili katika Gehena.*+ Mathayo 26:75 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 75 Naye Petro akakumbuka maneno aliyosema Yesu, yaani: “Kabla jogoo hajawika, utanikana mara tatu.”+ Naye akaenda nje akalia kwa uchungu.
28 Na msiwaogope wale wanaoua mwili lakini hawawezi kuua nafsi;*+ badala yake, mwogopeni yule anayeweza kuangamiza nafsi na mwili katika Gehena.*+
75 Naye Petro akakumbuka maneno aliyosema Yesu, yaani: “Kabla jogoo hajawika, utanikana mara tatu.”+ Naye akaenda nje akalia kwa uchungu.